24Bongo News :
Home » » MESSI ASHINDA TENA TUZO YA DUNIA

MESSI ASHINDA TENA TUZO YA DUNIA

Mchezaji na super star wa timu ya Barcelona ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa dunia FIFA Ballon d'Or kwa mara ya nne mfululizo.Ni mchezaji pekee ambae ameweza kutwaa tuzo hizo mara nne mpaka sasa.

Messi amewashinda Cristiano Ronaldo na Iniesta waliokuwa wanagombea tuzo hiyo katika tatu bora.Ronaldo alishika nafasi ya pili na Iniesta kushika nafasi ya tatu kutoka na kura zilizopigwa.

"Napenda kushare tuzo hii na wachezaji wenzangu wa Barcelona na hasa Iniesta na vilevile wachezaji wenzangu wa timu yangu taifa ya Argentina."alisema Messi.

 

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

0 comments:

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard