![]() |
Arsene Wenger |
"Nini kilichotokea jijini Monaco usiku wa jana baada ya Machester United kulipa ada ya paundi milioni 80 kwa Monaco kumuuza Martial..Nimesikia".Wenger akiimbia beln Sports.
"Martial amefunga goli 11 kwenye Ligi ya Ufaransa.Hiyo tosha inajieleza kila kitu.Maana yake ni kwaba sio pesa inayosekana wala nia ya kuwekeza bali ni idadi ya wachezaji bora wanaoweza kuziongezea klab kubwa nguvu."
"Je,nina furaha na uwekezaji ninaoufanya?Ndio,kila mara.Nimemsajili Alex,Ozil,Gabriel mwaka jana na sasa Cech.
"Tatizo ni kutafuta wachezaji watakao kuhakikishia ubora wao ndani ya timu.Martial ana miaka 19 kwa sasa ana kipaji cha kikubwa na gharama imekuwa kubwa hivyo inaonyesha wazi kuwa hakuna wachezaji wa kutosha."