24Bongo News :
Home » » TUNDA MAN AKANA KUPORWA NA JIMAMA

TUNDA MAN AKANA KUPORWA NA JIMAMA

Tundaman

Msanii maarufu wa kundi la TIP TOP,Tundaman amekana story zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya blogs kwamba ameporwa Mil 7 na jimama. Habari hizo ni za uzushi na zimemkera sana anashangaa kwanini watu wanavumisha habari hizo?

Alisema alipokuwa akizungumza na Dj Choka

"Hizi habari si za kweli Choka, unajua mambo mengine hata mzazi wako anaposikia habari zakuibiwa hela sijui na jimama wakati yeye anashida na hela anakuwa hala amani tena na wewe kwasababu unaweza kukuta alikuomba kiasi kidogo lakini wewe ulimpiga chenga ili ujipange zaidi halafu mtu anakuja kusema nimeibiwa Mil 7 na jimama wakati hata hizo hela sina kwa wakati mmoja"

Tundaman amewaomba mashabiki wake wasichukulie habari hizo kama zilizovyo kwa maana ni uzushi mtupu kwa wanaotaka kumwalibia jina lake.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard