24Bongo News :
Home » » VIFAA VYA SHULE VYAPANDA BEI

VIFAA VYA SHULE VYAPANDA BEI

 Baadhi ya wakazi jijini Dar es Salaam wamelalamikia ongezeko la bei za vifaa vya shule katika kipindi hiki cha mwanzo wa mwaka ambapo watoto wengi wanafungua shule.
Wakizungumza na Tanzania Daima nyakati tofauti sokoni Kariakoo jana, walisema bei zimekuwa juu kuliko kawaida huku wakitaja vitu kama nguo za shule, mabegi na viatu kuwa ndio vinaongoza.

“Vitu viko juu kweli, kama mimi nina watoto wawili hapa nakuna kichwa, nguo ziko juu, viatu ndo usiseme,” alisema mkazi mmoja aliyefahamika kwa jina la Mama Anna.

Naye, Mariam Said alisema kipindi hiki kimekuwa kigumu kwa wazazi, kwani wanahitajika kununua vifaa vya shule pamoja na kulipa ada wakati maisha yanazidi kupanda juu.
Kwa upande wao, wafanyabiashara walisema hilo si ongezeko la bei bali wanauza kulingana na wanavyonunua vitu hivyo huku wakishindwa kuwaelewa wateja wao kwa kulalamikia bei.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard