24Bongo News :
Home » » KOCHA WA NIGERIA KUJIUZULU BAADA YA KUIPA UBINGWA TIMU YA TAIFA

KOCHA WA NIGERIA KUJIUZULU BAADA YA KUIPA UBINGWA TIMU YA TAIFA

Kocha wa timu ya soka ya Nigeria Stephen Kishi ametangaza kujiuzuru mara tu baada ya mechi ya fainali kwisha.Kocha huyo aliyasema hayo alipokuwa akihojiwa na moja ya vituo vya redio huko Afrika Kusini.

 Pia mangazaji wa Super Sport alithibitisha kujiuzuru kwa kocha huyo kupitia mtandao wa kijamii wa twitter, aliandika haya “stephen Keshi has just announced that he handed over his resignation letter after the game exclusively on 083Sport@6With Marawa on MetroFM”.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard