Kufuatia 
mtikisiko uliolipata bunge hususani kipindi cha bunge hili la mwezi huu 
kutokana na kusimamishwa kwa mijadala ya hoja bungeni na kusitisha ile 
hoja ya Mbunge wa chadema J,J Mnyika. 
 Katika 
mkutano wa hadhara uliolenga kuwapokea wabunge wa upinzani wakitokea Dodoma bungeni,Naibu katibu mkuu na Mh Tundu Lissu walipozungumza na 
wanachama na wapenzi wa CHADEMA kuhusu namna ya kuhakikisha Spika wa 
Bunge anawajibika katika hili. 
Chadema walipendekeza njia mbili za kutumika kumng'oa spika wa bunge Mh.Anne Makinda nazo ni. 
1.Kwanza 
ni kuhakikisha wabunge tunapeleka hoja ya kumng'oa Anne makinda kwenye 
kiti chake cha Spika.Zitto akasema ameshawasiliana na mnyika hoja hiyo 
ipo tayari. 
2.Ni 
kumfanya Anne makinda (spika wa Bunge) hana namna zaidi ya kung'oka.Mh 
Zitto kabwe akihutubia wanachama wa chadema akapendekeza njia ya kutumia
 Umma kumhukumu Anne makinda.Wananchi wakaomba namba ya simu ya Anne 
makinda  na Job Ndugai ili waweze kuwatumia ujumbe mfupi wa maandishi 
kwamba "KWANINI UNALICHEZEA BUNGE,TUNAOMBA UNG'OKE" 
Namba za simu zilitolewa kwa wananchi huku zoezi hilo likisimamiwa na Mbunge wa Arusha mjini Mh:Godbless Lema. 
Namba ya Anne makinda iliyosomwa ni hii. 
voda:0754465226  
Tio:0713 " " " 
namba ya Job Ndugai Ni 
Voda:0762 605951 
tigo:0655 " " " 
Mh Lema akawataka wananchi kuisambaza namba hiyo kwa ndugu na jamaa ili wafikishe ujumbe kwa Spika wa bunge.
 


 
 
 
 
 
