24Bongo News :
Home » , » CHADEMA NA MBINU ZA KUWANG'OA SPIKA NA NAIBU WAKE

CHADEMA NA MBINU ZA KUWANG'OA SPIKA NA NAIBU WAKE

Kufuatia mtikisiko uliolipata bunge hususani kipindi cha bunge hili la mwezi huu kutokana na kusimamishwa kwa mijadala ya hoja bungeni na kusitisha ile hoja ya Mbunge wa chadema J,J Mnyika. 

 Katika mkutano wa hadhara uliolenga kuwapokea wabunge wa upinzani wakitokea Dodoma bungeni,Naibu katibu mkuu na Mh Tundu Lissu walipozungumza na wanachama na wapenzi wa CHADEMA kuhusu namna ya kuhakikisha Spika wa Bunge anawajibika katika hili. 

Chadema walipendekeza njia mbili za kutumika kumng'oa spika wa bunge Mh.Anne Makinda nazo ni. 
1.Kwanza ni kuhakikisha wabunge tunapeleka hoja ya kumng'oa Anne makinda kwenye kiti chake cha Spika.Zitto akasema ameshawasiliana na mnyika hoja hiyo ipo tayari. 
2.Ni kumfanya Anne makinda (spika wa Bunge) hana namna zaidi ya kung'oka.Mh Zitto kabwe akihutubia wanachama wa chadema akapendekeza njia ya kutumia Umma kumhukumu Anne makinda.Wananchi wakaomba namba ya simu ya Anne makinda  na Job Ndugai ili waweze kuwatumia ujumbe mfupi wa maandishi kwamba "KWANINI UNALICHEZEA BUNGE,TUNAOMBA UNG'OKE" 

Namba za simu zilitolewa kwa wananchi huku zoezi hilo likisimamiwa na Mbunge wa Arusha mjini Mh:Godbless Lema. 
Namba ya Anne makinda iliyosomwa ni hii. 
voda:0754465226  
Tio:0713 " " " 
namba ya Job Ndugai Ni 
Voda:0762 605951 
tigo:0655 " " " 
Mh Lema akawataka wananchi kuisambaza namba hiyo kwa ndugu na jamaa ili wafikishe ujumbe kwa Spika wa bunge.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard