24Bongo News :
Home » » SIMBA YACHEZEA KICHAPO

SIMBA YACHEZEA KICHAPO


Timu ya soka simba imefungwa goli 1-0 katika mechi ya ligi ya mabingwa afrika ambapo sasa itahitaji kushinda mechi ya marejeano wiki mbili zijazo zaidi bao moja kama inahitaji kuendelea kusonga mbele na mshindi wa mechi hiyo atacheza dhidi ya El meriek ya Sudan.
 

Kocha msaidizi wa simba jamhuri kiwelu amaesema kuwa watafanyia kazi makosa yaliyojitokeza na nahodha wa simba Juma Kaseja amaesema kuwa wamecheza vile walivyoelekezwa na mwalimu na hakuna aliyefurahia kufungwa  watajitahidi mechi ijayo waweze kufanya vizuri 

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

0 comments:

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard