Huenda ile story ya kwamba Diamond amepata na anaendelea kupata
mafanikio kutokana na kutumia waganga wa kienyeji si kweli!! You never
know! Staa huyu ambaye gazeti la Daily Nation limemtaja kuwa miongoni
mwa wasanii wa Bongo Flava matajiri zaidi, yupo karibu mno na mama yake
mzazi na pengine ndio maana anafanikiwa, nani kama Mama? Vipi kama
mafanikio yake ni thawabu halisi kutoka kwa Mwenyezi Mungu?
Hizi ni picha ambazo Diamond ameziweka kwenye website yake na kuandika kwenye moja ya picha hizo: Siku zote kabla ya kwenda popote lazima tupitie kwa mama yetu mpendwa atupe Barka zake na nyingine hiyo juu akiandika: Nikipokea baraka za Mama ….Nijaliwe Mema….na Niende kwa Amani…!!
Hizi ni picha ambazo Diamond ameziweka kwenye website yake na kuandika kwenye moja ya picha hizo: Siku zote kabla ya kwenda popote lazima tupitie kwa mama yetu mpendwa atupe Barka zake na nyingine hiyo juu akiandika: Nikipokea baraka za Mama ….Nijaliwe Mema….na Niende kwa Amani…!!
0 comments:
Post a Comment