24Bongo News :
Home » » PICHA ZA NUSU UCHI ZA WEMA ZAZAGAA MTANDAONI

PICHA ZA NUSU UCHI ZA WEMA ZAZAGAA MTANDAONI

Baada ya kuwa kimya kwa muda mfupi bila ya kukumbwa na kafsha kwenye magazeti,Mrembo maarufu kwa vituko na vioja Wema Sepetu amejikuta akiangukia pua tena baada ya picha zake ambazo hazifai kwa jamii ya kitanzania kuibukia mtandaoni.

Ikiwa ni kipindi kifupi toka yeye na Ant Ezekiel kuomba kwa jamii msamaha baada ya kufanya mambo ya ajabu kwenye matamasha ya FIESTA mwaka jana.Sasa jamii inabaki njia panda juu ya huyu binti aliye na mikongo mingi na vituko visivyoelezeka.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard