- Baada ya kuichezea Hispania mechi nane sasa aanza kusakwamwa
- Kocha Del Bosque amtetea akisema magoli yatakuja tu.
- Fabregas amtetea pia
Kocha Del Bosque amewaomba mashibiki kuwa wavumilivu juu ya mshambulia huyo kwani suala la kutofunga litatoweka muda si mrefu.Hispania ikicheza jumamosi dhidi ya Slovakia na kuondoka na ushindi wa 2-0 bado wachambuzi waliendelea kuhoji juu ya ubutu wa Mshambuliaji huyo.
Mchezaji mwenzake Cesc Fabregas amliteta Mshambuliaji huyo kwa kusema kwamba mchango wa Diego Costa ni mkubwa kwani hata penati iliyofunga na Iniesta ilisababishwa na mshambuliaji huyo hivyo suala la yeye kutofunga sio tatizo kama timu ikiondoka na ushindi .