24Bongo News :
Home » , » GARETH BALE AIPA WALES USHINDI BAADA YA KUFUNGA GOLI DAKIKA ZA MAJERUHI......

GARETH BALE AIPA WALES USHINDI BAADA YA KUFUNGA GOLI DAKIKA ZA MAJERUHI......

  • Wales yashinda 0-1 dhidi ya Cyprus kwenye mechi ya Group B
  • Star wa Real Madrid Gareth Bale afunga goli kali la kichwa zikiwa zimesalia dakika 10
  • Kikosi hicho cha Chris Coleman sasa kitafuzu michuano ya Ulaya nchini Ufaransa kama ikiifunga Israel .
 Timu ya taifa ya Wales sasa imebakiza kazi moja tu...kuifunga timu ya Israel ili kuweza kufuzu fainali za Ulaya nchini Ufaransa.Matumaini ya kufuzu kwa michuano mikubwa tangu 1958 baada ya kuonyesha mchezo mzuri wa kutaka kushinda pale Nicosia,Cyprus.

 Bale alisema.."Ilikuwa kazi ngumu na hali ya hewa ilikuwa nzuri..Tuliwabana kila idara na kwa bahati nzuri mwishoni tukapata goli la ushindi.Tulifahamu tunaweza kushinda mahali hapa..Tuna furaha kwa matokeo haya."

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard