- Fellain kuongoza mashambulizi
- Vipimo vya mwisho kutoa uamuzi
- Liverpool kuendeleza uteja Old Traford
- Herrera kucheza nyuma ya mshambuliaji (namba 10)
Repoti kutoka klabuni hapo zilisema kwamba Rooney alishindwa kukutana na wachezaji wenzake hotelini jijini Manchester .Wakati huo huo golikipa De Gea amesaini mkataba wa miaka minne kuendelea kuichezea Manchester United baada ya sakata lake la usajili kwenda Madrid kukwama.Alionekana akiwapungua mashabiki nje ya hoteli huku akiwa furaha.
Herrera huenda akaendelea kucheza nyuma ya mshambuliaji kama ilivyoonekana kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Swansea na kumudu vizuri.Shauku kubwa kwa mashabiki wa timu hiyo ni kuona kipa wa timu hiyo De gea akirudi golini leo.