24Bongo News :
Home » » LIGI KUU UINGEREZA HAPATOSHI WIKIENDI HII

LIGI KUU UINGEREZA HAPATOSHI WIKIENDI HII




Ligi kuu ya Uingereza inarejea  wikiendi hii baada ya kuzipisha Mechi za Raundi ya 3 ya FA CUP Wikiendi iliyopita na Mechi zenye mvuto ni zile BIG MATCH  mbili zitakazochezwa Jumapili,   
  •      Man United v Liverpool,  
  •      Arsenal v Man City.


RATIBA:

Leo Jumamosi tarehe 12 Januari 2013

[SAA 12 Jioni]

Aston Villa v Southampton

Everton v Swansea

Fulham v Wigan

Norwich v Newcastle

Reading v West Brom

Stoke v Chelsea

Sunderland v West Ham

Kesho Jumapili 13 Januari 2013

[SAA 10 na Nusu Jioni]

Man United v Liverpool

[SAA 1 Usiku]

Arsenal v Man City

Jumatatu 14 Januari 2013

[SAA 5 Usiku]

QPR v Tottenham

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard