24Bongo News :
Home » » NI AZAM FC NA TUSKER FC FAINALI LEO MAPINDUZI CUP

NI AZAM FC NA TUSKER FC FAINALI LEO MAPINDUZI CUP



Tusker ya Kenya imefanikiwa kuingia Fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Miembeni huko Aman Stadium, Zanzibar na sasa watakutana na Mabingwa watetezi, Azam FC leo Jumamosi

Kwenye Fainali Tusker watacheza na Azam FC, ambao ndio Mabingwa watetezi, leo Jumamosi Uwanja wa Amaan.

Azam ilitinga Fainali baada ya kuitoa Simba kwa Mikwaju ya Penati 5-4 kufuatia sare ya 2-2 katika Dakika 120 za Mchezo.

MATOKEO:

Jumatano Januari 2

Tusker 5 Bandari 1

Simba 4 Jamhuri 2

Alhamisi Januari 3

Azam 0 Coastal Union 0

Miembeni 4 Mtibwa Sugar 1

Ijumaa Januari 4

Simba 1 Tusker 1

Jamhuri 2 Bandari 1

Jumamosi Januari 5

Miembeni 1 Azam 3

Mtibwa Sugar 1 Coastal Union 1

Jumapili Januari 6

Simba 1 Bandari 1

Jamhuri 0 Tusker 1

Jumatatu Januari 7

Miembeni 0 Coastal Union 0

Azam 0 Mtibwa Sugar 0

NUSU FAINALI

Jumatano Januari 9

Azam 2 Simba 2 [Penati 5-4]

Alhamisi Januari 10

Tusker 2 Miembeni 0

FAINALI

Jumamosi leo Januari 12

Azam FC v Tusker

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard