24Bongo News :
Home » » MATOKEO YA MECHI ZA JANA EPL

MATOKEO YA MECHI ZA JANA EPL




Walter akijifunga


 Siku mbaya kwa Jonathan Walters anaechezea Stoke city, baada ya kujifunga bao Mbili na kukosa Penati pia. Mchezo huo ulikuwa ukiikutanisha Chelsea na Stoke, Chelsea ikicheza ugenini.  Mabao mengine ya Chelsea ya lifungwa na Lampard kwa njia ya penati na Hazard akakamilisha kalamu ya magoli.
Matokeo mengine kama yanavyoonekana hapo chini.

Queens Park Rangers 0 – 0 Tottenham

Aston Villa 0 – 1 Southampton

Everton 0 – 0 Swansea

Fulham 1 – 1 Wigan

Norwich 0 – 0 Newcastle United

Reading 3 – 2 West Bromwich Albion

Stoke 0 – 4 Chelsea

Sunderland 3 – 0 West Ham

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard