24Bongo News :
Home » » MAN UNITED YAUA,MAN CITY MWENDO MDUNDO

MAN UNITED YAUA,MAN CITY MWENDO MDUNDO

Ule ushindani wa nani mkali ulioibuka siku mbili kabla ya mechi
ya watani wa jadi timu za Manchester United na Liverpool
zilipoumana leo umemalizika baina ya Van Persie na Luis Suarez.

Na si mwingine bali ni Van Persie ambae ameonyesha kuwa yeye
ndo kila kitu pale alipoiwezesha timu yake kuibuka na ushindi
wa bao 2-1 dhidi ya Liverpool leo.

Wakati bao la ushindi la Mashetani wekundu liliwekwa kimiani na
na beki wa kushoto,Patrick Evra.

Mshambuliaji mpya wa Liverpool ambae amesajiliwa kipindi hiki cha dirisha
dogo la January,Daniel Sturridge.Akitokea benchi aliipatia timu yake bao
la kufutia machozi.





Wakati huo huo timu ya Manchester City iliyokuwa ikimenyana na Arsenal na mpira
umemalizika sasa huku wageni Manchester City wakiondoka na ushindi wa 2-0 dhidi ya
wenyeji Arsenal.Mechi hiyo ilitawaliwa na kadi nyekundu mbili na njano sita.
Magoli  hayo yalifungwa na Milner dakika ya 21 na Edin Dzeko dakika ya 32.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard