24Bongo News :
Home » » HIVI SERIKALI HAIYAONI HAYA?KANGAMOKO WADHIBITIWE HARAKA

HIVI SERIKALI HAIYAONI HAYA?KANGAMOKO WADHIBITIWE HARAKA





 

Kundi maarufu hapa jijini limeendelea  kutia fora na kuwa gumzo kwa aina  ya uchezaji wao.Serikali imekuwa ikifumbia macho suala hili kwani limekwepo kwa muda likiendelea kumomonyoa maadili ya kitanzania huku likichochea matendo ya ngono kwa vijana na jamii kwa ujumla.

Ni muda muafaka serikali ikaliangalia hili kwa jicho makini kwani hakuna tofauti na biashara ya kujiuza kwani matendo yao na uvaaji ni taswira tosha ya kutoendana na tamaduni ya kitanzania hasa ukizingatia wakati huu ambao taifa lipo kwenye changamoto ya kupunguza kama si kuondoa kabisa maambukizi ya Ukimwi.

Hivyo serikali ifanye mkakati wa kuzuia huu utamaduni mpya ambao ni sumu kwa taifa letu na kizazi hiki.




Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard