24Bongo News :
Home » , » MTOTO WA KIGOGO ANASWA GEST NA MUME WA MTU

MTOTO WA KIGOGO ANASWA GEST NA MUME WA MTU

MTOTO wa kigogo Bongo aliyepata kuwa mbunge wa jimbo moja jijini Dar es Salaam (jina kapuni) aliyetajwa kwa jina moja la Happy, amenaswa gesti akiwa na Muddy aliyedaiwa kuwa ni mume wa mtu.....
Ukurasa wa tipu unabainisha kuwa binti huyo alifanya kitendo hicho cha aibu hivi karibuni maeneo ya Sinza kwenye nyumba moja ya kulala wageni ambayo inasitiriwa jina lake kwa sasa.
 “Alianza kutembea na mume huyo wa mtu kwa muda mrefu, kosa alilofanya ni kupiga picha chafu kwa kutumia simu yake,” chanzo kilianika mkasa.

Inaelezwa kuwa picha hizo zimesambazwa na rafiki mmoja wa msichana huyo kwa kinachodaiwa kutaka kuwaumbua wawili hao.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard