24Bongo News :
Home » , » WASANII WALIOENDA KUMPOKEA MATUMAINI WAAMBULIA PATUPU

WASANII WALIOENDA KUMPOKEA MATUMAINI WAAMBULIA PATUPU



Waigizaji zaidi ya 30 ambao jumapili february 3 2013 walijitokeza kumpokea mwigizaji mwenzao mgonjwa Matumaini, walirudi mikono mitupu baada ya mwigizaji huyo aliekua anatarajiwa kuwasili Tanzania akitokea Msumbiji kushindwa kufanya hivyo chanzo kikiwa ni hati yake ya kusafiria ambayo akiwa uwanja wa ndege aliagizwa kuishughulikia kwenye ofisi za uhamiaji ambazo zipo mbali na uwanja wa ndege.





 Matumaini amekua Msumbiji kwa wiki kadhaa alikokwenda kufanya show lakini muda mfupi baadae mambo yakageuka na kuanza kuumwa miguu, mwigizaji huyu anatarajiwa kuwasili Dar jumanne au jumatano na tayari umoja wa waigizaji umepanga kumpeleka hospitalini moja kwa moja.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard