![]() |
| Katibu Mkuu wa CCM,Kinana akiwaaga wana CCMmuda mfupi kabla hajapanda treni leo kuelekea Kigoma. |
![]() |
| Umati mkubwa wa wana CCM uliofurika stesheni jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya safari ya kuelekea Kigoma. |
![]() |
| Katibu wa CCM akipanda treni hiyo kishujaa |
![]() |
| Mheshimiwa Kinana akiwasalimu wadau wa CCM |
![]() |
| Katibu wa NEC,siasa na Uhusiano,Dkt Asha Rose Migiro akipunga mikono kuaaga |






0 comments:
Post a Comment