24Bongo News :
Home » » MACHESTER CITY YARUDISHA TIKETI ZA MASHABIKI 900 KWA ARSENAL

MACHESTER CITY YARUDISHA TIKETI ZA MASHABIKI 900 KWA ARSENAL

Manchester City wamerejesha tiketi takriban 900 ambazo zilikuwa kwa ajili ya mchezo wao na Arsenal siku ya Jumapili.



Sehemu ya ukaaji wa mashabiki 3000 kwa tiketi takribani 3000, ambapo gharama ya siti moja ni £ 62 kwa mtu mzima hazikuuzwa. Kama hali hiyo klabu imeirejeshea  Arsenal tiketi hizo ili iweze kuziuza kwa mashabiki wake
 
Mchezo wa Manchester City na Arsenal ni mchezo wa daraja A hivyo tiketi zinauzwa bei sana kwa £ 62 kwa watu wazima, £ 23.50 kwa chini ya miaka 16, na £ 26.50 kwa zaidi ya miaka -65. Kwa hali halisi ya mashabiki wa City bei hiyo si ya kawaida, wameshindwa kuuza karibu moja ya theluthi ya tiketi hizo.

Kwa mechi nyingine za daraja A, Tottenham Hotspur na Chelsea wote waliuza tiketi 3000 msimu huu kwa bei hiyo hiyo.

Msimu uliopita, City waliongeza idadi ya tiketi za nje kufikia 5200 kwa bei ya £ 20 na £ 10 kwa ajili ya Kombe la Carling robo-fainali katika uwanja wa  Emirates.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard