24Bongo News :
Home » » SIMBA WABANWA TENA LIGI KUU

SIMBA WABANWA TENA LIGI KUU

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vodacom simba sc wamebanwa tena na timu ya jeshi la kujenga taifa (JKT) na safari hii walikuwa ni wakutokea Oljoro jijini Arusha.Simba sc walikuwa katika uwanja wa shekh Amri Abeid jijini Arusha kuwakabili JKT Oljoro katika muendelezo wa ligi kuu ya vodacom.

Simba wakiwa wametoka kutoa sare ya na JKT Ruvu waliuwanza mchezo vyema kwa kutawala kipindi cha kwanza na katika dakika ya 6 Mwinyi Kazimoto aliachia shuti la umbali wa mita 30 na kutinga moja kwa moja nyavuni.Kipindi cha pili hakikuwa kizuri kwa simba kufuatia Oljoro kulisakama lango la simba na kama wangekuwa makini wangetoka na ushindi wa goli 3.

Alikuwa Paulo Nongwa katika dakika ya 54 ajipo isawazishia Oljoro na kupelekea mchezo kumalizika kwa sare ya goli 1-1.






Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

0 comments:

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard