24Bongo News :
Home » , » BALOTELI AANZA VEMA NICE...APIGA BAO MBILI

BALOTELI AANZA VEMA NICE...APIGA BAO MBILI

  • Apiga mabao mawili kuisaidia Nice kupata ushindi..
  • Asema kufanya makosa alipokubali kujiunga na Liverpool 
 Mario Baloteli aanza vema kwenye timu yake mpya ya Nice nchini Ufaransa baada ya kuifungia timu hiyo bao mbili na kuiwezesha kuibuka na ushindi .Baada ya msimu kuonyeshwa njia ya kuondoka klabuni Liverpool mchezaji huyo alikiri kwamba anajutia maamuzi yake ya kujiunga na timu hiyo awali 2014.Kocha Jurgen Klopp alimwambia kutohitaji msaada wake baada ya kurudi klabuni hapo akitokea AC Milan kwa Mkopo.

Baloteli ameanza kulipa fadhila kwa Uongozi wa Nice kukubali kumpa nafasi ya kuokoa kipaji chake na anachofikiria kwa sasa ni kuisaidia Nice katika michezo yake yote.

 
Baloteli akaifunga moja ya mabao kwenye mchezo wa jana


Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

0 comments:

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard