24Bongo News :
Home » , , » NEYMAR AENDELEA KUTAKATA AIBEBA BARCA MBELE YA GETAFE

NEYMAR AENDELEA KUTAKATA AIBEBA BARCA MBELE YA GETAFE

  • Barca sasa yawa pinti sawa na Real Madrid
  • Suarez na Neymar kila mmoja apiga bao moja huku wakifikisha magoli 14 
  • Suarez afikisha magoli 300 katika maisha yake ya soka

Neymar na Suarez jana waliendelea kuziba pengo la Messi baada ya kuisadia Barca kupata ushindi wa ugenini walipokuwa wakikipiga na Getafe.

Wachezaji hao wanaendelea kuwathibitisha kuwa wanaweza kukiongoza kikosi hicho kupata ushindi hata kama Messi hayupo uwanjani.Mpaka sasa wameshafunga magoli 14 .



Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

1 comments:

Unknown said...

neymar namkubali sana alistaili kuchukua ata ile tuzo ya mess

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard