24Bongo News :
Home » » BRITISH AIRWAYS WASITISHA SAFARI ZAO TANZANIA

BRITISH AIRWAYS WASITISHA SAFARI ZAO TANZANIA



Baada ya miongo minne ya kutoa huduma nchini Tanzania, hatimaye shirika la ndege la British Airways limeamua kusitisha safari zake za kuja nchini kwa madai kuwa ilikuwa ikipata hasara.


Maelezo kutoka kwa shirika hilo yalisema, 

”Dar es Salaam was not performing well from a commercial perspective so we have taken the decision to suspend the route.”

Kwa mujibu wa maelezo hayo, abiria waliokuwa wamebook kusafiri kabla ya March 31 watarudishiwa fedha zao ama kuhamishiwa kwenye ndege zinazoishia Nairobi, Entebbe ama Lusaka.

Uamuzi huo unadaiwa kuwa utaathiri uchumi wa Tanzania kwa namna nyingi ikiwa pamoja na kupungua kwa watalii kutoka nchini Uingereza na mambo mengine

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

0 comments:

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard