24Bongo News :
Home » » YANGA YAENDELEZA UBABE LIGI KUU

YANGA YAENDELEZA UBABE LIGI KUU

M

 Timu ya Yanga leo imeendelea kugawa dozi kwa kila timu inayokutana nayo baada ya kufanikiwa kuifunga timu ya Ruvu Shooting kwa bao 1-0.

Pongezi kwa Hamis Kiiza kwa kufunga bao hilo pekee na kuipata Yanga pointi tatu dakika ya 48.

Mchezo huo uliopigwa katika uwanja wa Taifa ulikuwa wa kuvutia kwa dakika zote za mchezo huo.Hadi filimbi ya mwisho inalia ni Yanga waliotoka wakiwa na pointi tatu muhimu.

Vilevile katika mchezo mwngine wa ligi kuu uliochezwa leo ni:

Mtibwa Sugar 1-1 Coastal Union

                                                                        

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard