24Bongo News :
Home » , , » JAHAZI LA MOURINHO CHELSEA LAENDELEA KUZAMA...YAPIGWA KWA MATUTA KOMBE LA LIGI

JAHAZI LA MOURINHO CHELSEA LAENDELEA KUZAMA...YAPIGWA KWA MATUTA KOMBE LA LIGI


  • Loic Remy asawazisha akitokea benchi
  • Diego Costa atolewa nje baada ya kupata majeruhi
  • Phil Bardsley alotewa nje kwa kadi ya pili ya njano baada ya kumchezea rafu Kennedy
  • Edin Hazard akosa penati ya mwisho kuifanya Stoke City kusonga mbele


Kocha Jose Mourinho ameendelea kuwa kwenye wakati mgumu kuliko kipindi chote cha maisha yake ya Soka baada ya jana akishuhudia Timu yake kutolewa nje ya mashindano ya Kombe la Ligi na kushindwa kutetea taji hilo alitotwaa msimu uliopita.
Bardsley akitoka nje baada ya kupata kadi mbili za njano


Safari hii timu ya Chelsea ilikuwa yenye hali na kuonekana kutawala mchezo huo mpala pale Jon Walter alipoipatia Stoke goli la kuongoza dakika ya 52  kwa shuti kali lilomshinda golia Begovic .
Loic Remy akitokea benchi aliipa Chelsea Uhai baada ya kusawazisha na kuufanya mchezo huo huende kwenye dakika 30 za nyongeza.



Katika dakika hizo za  nyongeza hakuna timu iliyoweza kupata goli la kuongoza mpaka pale mshindi kuamuliwa kwa njia ya matuta.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard