24Bongo News :
Home » , » HALI YA MATUMAINI YAWA MBAYA HUKO MSUMBIJI

HALI YA MATUMAINI YAWA MBAYA HUKO MSUMBIJI

Msanii maarufu nchini kwenye tasnia ya uchekeshaji, Tumaini Martin Mwakibibi ‘Matumaini’ anadaiwa yuko mahututi nchini Msumbiji ambako alikwenda kwa ajili ya kufanya shoo akiwa na mchekeshaji mwenzake, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’.

Akizungumza na gazeti hili juzi jijini Dar, Herieth Chumila ambaye pia ni msanii, alisema alipokea taarifa za kuumwa kwa Matumaini kutoka kwa mtoto wake aishiye nchini humo na kumwomba msaada wa haraka kwa kuwa msanii huyo yupo katika hali mbaya.

"Hali yake kwa sasa ni mbaya kwani imefikia hatua mahitaji yake yote anayamalizia kitandani"alisema Herieth

"Nilizungumza na Matumaini kwa tabu sana na anaomba michango ili aweze kurudi nyumbani"aliongeza Herieth.

Je wewe una maoni gani?!

Share this article :

0 comments:

KIKI POLICY


KIKI BLOG POLICY

Blog hii haina lengo la kumdharirisha mtu na pia kutoa taarifa binafsi zenye lengo la kumkwaza mtu,baadhi ya picha na habari katika blog hii hazimilikiwi na KIKI blog bali zinatoka katika vyanzo mbalimbali vya habari. Ikiwa kuna habari au picha yenye kukudharirisha basi usisite kututaharifu mapema hili iondolewe.
KARIBUNI WOTE

BANK WITH DTB 24/7

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

WASOMAJI

Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below

Powered By Blogger Widgets

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

THIS BLOG IS SPONSORED BY:

KUMBUKUMBU

ZILIZOVUMA

 
----
Support : Copyright © 2015. KIKI NEWS - All Rights Reserved
This blog Designed by and Modified by Joseph Richard